5. Upotoshaji Uliopo Kwenye Kanuni ya Kujulikana na Kuchaguliwa Tangu Asili (Warumi 8:28-30)

Episode 5 January 13, 2023 01:29:58
5. Upotoshaji Uliopo Kwenye Kanuni ya Kujulikana na Kuchaguliwa Tangu Asili (Warumi 8:28-30)
Irudie Injili ya Maji na Roho
5. Upotoshaji Uliopo Kwenye Kanuni ya Kujulikana na Kuchaguliwa Tangu Asili (Warumi 8:28-30)

Jan 13 2023 | 01:29:58

/

Show Notes

Kanuni ya kitheolojia kuhusu kuchaguliwa toka asili na kuteuliwa, ambazo ni miongoni mwa misingi ya theolojia zinazounda misingi ya Kikristo, zimewapelekea wengi wenye kutaka kumwamini Yesu kushindwa kuelewa Neno la Mungu. Kanuni hizi potofu zimesababisha mkanganyiko mkubwa.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 13, 2023 01:02:54
Episode Cover

7. Ubatizo wa Yesu ni Mojawapo ya Hatua ya Ukombozi Isiyopaswa Kuwekwa Kando (Mathayo 3:13-17)

Watu wengi ulimwenguni hawafahamu ni kwanini Yesu alikuja katika ulimwengu huu na kubatizwa na Yohana Mbatizaji. Hivyo hebu tuzungumzie juu ya sababu za ubatizo...

Listen

Episode 1

January 13, 2023 01:30:57
Episode Cover

1. Maana ya Injili halisi ya Kuzaliwa Upya tena (Yohana 3:1-6)

Katika ulimwengu huu wapo wengi wenye kutaka kuzaliwa upya kwa njia ya kumwamini Yesu tu. Hata hivyo ningependa kukwambia awali kwamba kuzaliwa upya si...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 01:34:27
Episode Cover

6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

Katika Agano la Kale, palikuwepo na kuhani mkuu aliyeitwa Melkzedeki. Wakati wa Abrahamu, Kedorlaoma na wafalme walishirikiana naye na kutaka vitu vyote vya Sodoma...

Listen