6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

Episode 6 January 13, 2023 01:34:27
6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)
Irudie Injili ya Maji na Roho
6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

Jan 13 2023 | 01:34:27

/

Show Notes

Katika Agano la Kale, palikuwepo na kuhani mkuu aliyeitwa Melkzedeki. Wakati wa Abrahamu, Kedorlaoma na wafalme walishirikiana naye na kutaka vitu vyote vya Sodoma na Gomora. Abrahamu akawapa silaha watumishi wake waliofunzwa, wale waliozaliwa katika nyumba yake na kuwaongoza katika vita dhidi ya Kedorlaoma na washirika wake.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 8

January 13, 2023 00:30:41
Episode Cover

8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)

Yesu Kristo alisema “Si kila mtu aniambiaye Bwana, Bwana atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; Bali yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.” Maneno...

Listen

Episode 1

January 13, 2023 01:30:57
Episode Cover

1. Maana ya Injili halisi ya Kuzaliwa Upya tena (Yohana 3:1-6)

Katika ulimwengu huu wapo wengi wenye kutaka kuzaliwa upya kwa njia ya kumwamini Yesu tu. Hata hivyo ningependa kukwambia awali kwamba kuzaliwa upya si...

Listen

Episode 5

January 13, 2023 01:29:58
Episode Cover

5. Upotoshaji Uliopo Kwenye Kanuni ya Kujulikana na Kuchaguliwa Tangu Asili (Warumi 8:28-30)

Kanuni ya kitheolojia kuhusu kuchaguliwa toka asili na kuteuliwa, ambazo ni miongoni mwa misingi ya theolojia zinazounda misingi ya Kikristo, zimewapelekea wengi wenye kutaka...

Listen