2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)

Episode 2 January 13, 2023 01:26:42
2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)
Irudie Injili ya Maji na Roho
2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)

Jan 13 2023 | 01:26:42

/

Show Notes

Wapo waandishi bandia wa makala nyakati hizi hasa katika nchi zilizoendelea. Hujifanya kuwa waandishi wa makala huku wakiwa na nia ya kujipatia vipato toka kwa walengwa wa makala hizo, kwa kuwatishia kutoboa siri zao. Neno bandia maana yake ni kitu au jambo lenye kuonekana kuwa ni halisi hali si kweli. Kwa maneno mengine, lina maana kwa kitu au jambo ambalo ukweli wake ni tofauti na mwonekano wa nje.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 1

January 13, 2023 01:30:57
Episode Cover

1. Maana ya Injili halisi ya Kuzaliwa Upya tena (Yohana 3:1-6)

Katika ulimwengu huu wapo wengi wenye kutaka kuzaliwa upya kwa njia ya kumwamini Yesu tu. Hata hivyo ningependa kukwambia awali kwamba kuzaliwa upya si...

Listen

Episode 8

January 13, 2023 00:30:41
Episode Cover

8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)

Yesu Kristo alisema “Si kila mtu aniambiaye Bwana, Bwana atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; Bali yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.” Maneno...

Listen

Episode 3

January 13, 2023 01:37:58
Episode Cover

3. Tohara ya Kweli ya Kiroho (Kutoka 12:43-49)

Maneno ya Mungu katika Agano la Kale na Jipya ni muhimu na yenye thamani kwetu sisi tunaomwamini Mungu. Hatuwezi kupuuzia hata mstari mmoja wa...

Listen