8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)

Episode 8 January 13, 2023 00:30:41
8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)
Irudie Injili ya Maji na Roho
8. Hebu na Tutende Mapenzi ya Baba Kwa Imani (Mathayo 7:21-23)

Jan 13 2023 | 00:30:41

/

Show Notes

Yesu Kristo alisema “Si kila mtu aniambiaye Bwana, Bwana atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; Bali yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.” Maneno haya yameleta woga katika mioyo ya wakristo wengi, hata kuwafanya wahangaike kwa bidii kutenda mapenzi ya Mungu.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

Other Episodes

Episode 7

January 13, 2023 01:02:54
Episode Cover

7. Ubatizo wa Yesu ni Mojawapo ya Hatua ya Ukombozi Isiyopaswa Kuwekwa Kando (Mathayo 3:13-17)

Watu wengi ulimwenguni hawafahamu ni kwanini Yesu alikuja katika ulimwengu huu na kubatizwa na Yohana Mbatizaji. Hivyo hebu tuzungumzie juu ya sababu za ubatizo...

Listen

Episode 6

January 13, 2023 01:34:27
Episode Cover

6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

Katika Agano la Kale, palikuwepo na kuhani mkuu aliyeitwa Melkzedeki. Wakati wa Abrahamu, Kedorlaoma na wafalme walishirikiana naye na kutaka vitu vyote vya Sodoma...

Listen

Episode 4

January 13, 2023 00:18:25
Episode Cover

4. Ni Namna Ipi Ya Kufanya Toba Ya Kweli Na Sahihi Kwa Dhambi (1 Yohana 1:9)

1 Yohana 1:9 ipo kwa wenye haki tu. Ikiwa mwenye dhambi hakuwa amekombolewa na kujaribu kupatanishwa na dhambi za kila siku kulingana na maneno...

Listen